Baada ya wiki 8 imeripotiwa Drake na Rihanna wameachana tena


 updates za mastaa wa nchi za nje nikiwazungumzia mastaa kama Beyonce, Rihanna, Jay z na wengine wengi kuhusiana na maisha yao kiujumla hata nja na fani ya muziki, August 28 2016 nilikusogezea hii kutoka kwenye Mtandao wa E News wa Marekani ambao uliripoti mkali wa  Midundo ya hiphop Drake kuwa mapenzini tena na Mrembo Rihanna.

Wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja mara nyingi kwenye mitoko tofauti na kujulikana kuwa wapo tena mapenzini, mabadiliko yalianza kuonekana 0ct 11 2016ambapo mrembo Rihanna alionekana peke yake akiwa anaelekea club na sio kawaida mrembo huyo kuwa peke yake bila DrakeEnews imeripoti kuwa Drake kwasasa anaonekana kuwa na mrembo mwingine Model ‘India Love’ ambae ametajwa kuwa ni ex wa Rapper ‘The Game’.
rihanna1__opt
U
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment