Kocha ya wanamichezo wa riadha wa Kenya waliopo Rio nchini Brazil amerudishwa nyumbani baada ya kujifanya ni mwanariadha na kutoa sampuli ya haja ndogo kwa ajili ya vipimo.
Kenya imesema kocha huyo John Anzrah alijifanya ni mwanariadha wa mbio za mita 800 Ferguson Rotich na kutia saini nyaraka za vipimo vya kubaini matumizi ya dawa zilizopigwa marufuku.
0 comments:
Post a Comment