KARIMAN ABULJADAYEL MWANARIADHA WA KWANZA WA SAUDI ARABIA KUKIMBIA MITA 100 OLIMPIKI


Mwanariadha Kariman Abuljadayel amekuwa ni mwanamke wa kwanza kutoka taifa la Saudi Arabia kushiriki mbio za Olimpiki za mita 100.

Mwanariadha huyo mwenye miaka 22 akiwa amevalia mavazi ya michezo yaliyofunika mwili mzima, alishindwa kufuzu kwa kumali wa saba katika mchujo wa awali.

Mwanariadha mwingine wa kike wa Afghanistan Kamia Yousufi naye alishiriki mbio hizo akiwa amevalia mavazi ya michezo yaliyofunika mwili mzima na kumaliza wa mwisho.
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment