Serena Williams amuondoa Sharapova kama mwana michezo wa kike anayelipwa fedha nyingi zaidi

Serena Williams amekichukua kiti kilichokuwa kimekaliwa na Maria Sharapova kama mwana michezo anayelipwa fedha nyingi zaidi. Katika kipindi cha miezi 12, Serena ameingiza kiasi cha dola milioni 28.9. Hata hivyo orodha hiyo ya Forbes imetawaliwa na wachezaji wa tennis zaidi.
Hii ni orodha nzima:
1. Serena Williams – $28.9m
2. Maria Sharapova – $21.9m
article-2728435-209FBAEE00000578-471_634x882

3. Ronda Rousey – $14m
0x600 (1)
4. Danica Patrick – $13.9m
0x600 (2)
5. Agnieszka Radwanska -$10.2m
0x600 (3)
6. Caroline Wozniacki – $8m
0x600 (4)
7. Garbine Muguruza – $7.6m
0x600 (5)
8. Ana Ivanovic – $7.4m
0x600 (6)
9. Victoria Azarenka – $6.6m
0x600 (8)
10. Eugenie Bouchard – $6.2m
0x600 (10)
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment