Producer Mswaki aingia rasmi kwenye muziki, apumzika kutayarisha nyimbo za wasanii wengine (Video)




Producer Mswaki anayefahamika zaidi kwa kutayarisha ngoma mbili za Ben Pol ‘Sophia’ na ‘Ningefanyaje’, amedai ameamua kuingia rasmi kwenye muziki na kwamba amepumzika kutayarisha nyimbo za wasanii wengine.
13285346_559372690908450_786766783_n
Mswaki ambaye ni rapper tayari ameachia ngoma yake mpya iitwayo Kilele aliyomshirikisha Mwasiti.
“Ndio nimeingia rasmi kama rapper na hii ndio nyimbo yangu ya kwanza official kabisa na ambayo nairelease kwenye redio na nini,” Mswaki ameiambia Bongo5.
Mswaki amesema amewahi kutoka nyimbo kadhaa kabla lakini hazikuwa rasmi na alikuwa akizitoa mtandaoni peke yake.
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment