MAHAFALI YA MALIA YAMFANYA RAIS OBAMA KUKOSA TUKIO LA KUMBUKUMBU NA DUA YA MUHAMMED ALI

Rais Barack Obama hatohudhuria hafla ya kumbukumbu na dua kwa bondia Muhammed Ali siku ya Ijumaa, Ikulu ya Marekani imesema.

Ali alifariki dunia Ijumaa akiwa na umri wa miaka 74 katika hospitali ya Phoenix, Arizona.

Viongozi wa dunia watakuwa miongoni mwa maelfu ya watu wataohudhuria dua maalum kwa bondia huyo Ijumaa huko Louisville, Kentucky, ambako ndipo Ali alipozaliwa.

Ikulu ya Marekani imesema rais Obama na mkewe Michelle watakuwa kwenye mahafali ya binti
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment