Nyota huyo anayechezea timu ya Barcelona ya Hispania hakucheza na timu ya taifa tangu Julai 2015, huku akiikosa michezo yote ya kampeni ya kuwania kufuzu michuano, na kuifanya timu hiyo kuwa na wakati mgumu bila yeye.
Wachezaji wa Argentina wakiwa na furaha wakati wakifanya mazoezi yao
Mazoezi yao yaliambatana na adhabu za mizaha za kuchapana makofi kichwani kama inavyoonekana hapa
0 comments:
Post a Comment