SIERRA LEONE YAMRUHUSU MGONJWA WA MWISHO WA EBOLA KUTOKA HOSPITALI

Shirika la Afya Dunia (WHO) limesema nchi ya Sierra Leone imemruhusu kutoka hospitali mgonjwa wake wa mwisho wa Ebola.

Mgonjwa huyo Adama Sankoh ameruhusiwa kutoka katika kituo cha tiba cha kaskazini mwa wilaya ya Bombali jana asubuhi.

Nchi hiyo haijapata maambukizi mapya kwa zaidi ya wiki mbili.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment