Producer anayedai yeye ndio kagundua kipaji cha Wiz Kid.


wpid-wiz-1
Producer mkongwe Nigeria Jezreel OJB amesema Wiz Kid alipata umaarufu baada ya kujiunga na lebel ya Banky W ‘Empire Mates Entertainment’  ila yeye ndio aliwaomba wazazi wa Wiz Kid wamwachie mtoto wao afanye muziki na alitumia nguvu na juhudi nyingi kufanikisha jambo hilo.
OJB anasema yeye ndio alikuwa akimpeleke Wiz Kid kwenye show kama underground na kuomba wampe nafasi ya kufanya show.  OJB anasema anakaribia kufikisha miaka 50 na hana sababu ya kujitafutia umaarufu ila anachosema ni kweli.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment