Polisi nchini Kenya imetoa picha ya
mke wa mpiganaji wa Al-Shabaab anayetafutwa kwa mashambulizi ya
mabomu ya kutupa kwa mikono na mauaji mjini Mombasa.
Polisi pia imetenga zawadi ya
shilingi milioni 2 za Kenya, kwa mtu atakayetoa taarifa itakayosaidia
kukamatwa kwa mwanamke huyo Rukia Mbarak Faraj, ambaye ni mke wa
Ramadhan Kufungwa.
Kwa mujibu wa ripoti ya polisi Faraj
anahusika na tukio la mashambulizi ya kutumia mabomu ya kutupa kwa
mkono na anahisiwa kuwa anaishi kwenye kambi ya wakimbizi kaskazini
mashariki mwa Kenya.
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos


0 comments:
Post a Comment