MAMIA YA WATU WANAHOFIWA KUFA BAADA YA BOTI MBILI ZILIZOBEBA WAHAMIAJI 500 KUZAMA

Mamia ya watu wanahofiwa kufa baada ya boti mbili zilizobeba wahamiaji 500 kuzama katika pwani ya mji wa Zuwara nchini Libya.

Wakazi na maafisa wa mji huo wamesema boti ya kwanza ilitoa ishara ya kuomba msaada jana kabla ya kuzama ikiwa na watu wapatao 100, ambapo boti ya pili ilizama baadae ikiwa na watu 400.

Waokoaji wameshafanikiwa kuopoa miili 82 kutoka kwenye maji na kukoa wengine 198, kwa mujibu wa maafisa wa chama cha mwezi mwekundu.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment