SENETA WA NAIROBI MIKE SONKO ATAKA MATUTA KUONDOLEWA KWENYE BARABARA YA THIKA

Seneta wa Nairobi Mike Sonko ameitaka mahakama kuishinikiza serikali ya Kenya kuondoa matuta pamoja na dredi katika barabara kuu ya Thika.

Matuta hayo pamoja na dredi ambayo Seneta huyo anataka yaondolewe kwenye barabara hiyo yameelezwa na utafiti kuwa yanachangia kuongeza foleni barabarani.

Kupitia wakili wake Harrison Kinyanjui, Seneta Sonko amemuomba Jaji wa Mahakama Kuu George Odunga kutoa amri ya kuondolewa matuta kwenye barabara zilizonamagari mengi.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment