Picha, Wizkid na wasanii walioimba ‘Am I Wrong’ Nico & Vinz wakiwa studio.


Wiz Kid
Mwimbaji kutoka Nigeria ‘ Wizkid’ amewapa mashabiki wake picha mbili akiwa na wasanii Nico & Vinz kutoka Norway kama kithibitisho kuwa ameshaingia nao studio na kazi imekamilika wakiwa mjini London.
Wiz mpaka sas aamesha fanya kazi wa watu wakubwa kwenye sana ya muziki Marekani kama Producer Mike Will Made It, Naughty Boy.Chris Brown, Drake na Diplo kwenye album yake mpya inayotoka mwezi ujao kupitia lebel yake ya Star Boy.
Nico na Vinz walikuwa wasanii wa kimataifa baada ya wimbo wao wa mwaka 2014  “Am I Wrong” .
wiz kid 3
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment