nimekuletea kutoka china mpaka nigeria Jackie Chan

 

jackie-chan
Staa wa filamu kutoka Hong Kong Chan Kong-sang aka Jackie Chan anatarajia kutembelea nchini  Nigeria. Chan anakuja kutambulisha filamu mpya aliyoigiza ya ‘Dragon Blade’ iliyoongozwa na directed Daniel Lee.
Chan anatarajiwa kuwa Nigeria September 4 na ni mualiko a kampuni ya filamu ya FilmOne waliopata haki za kuoa fi,amu hio Afrika. Filamu hii ilionekana mara ya kwanza mwaka 2014 kwenye tamasha la filamu la Abuja International Film Festival na ilishinda tuzo tofauti kama best foreign film.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment