Orezi wa Nigeria azungumzia kikii ya msanii Skiibii ya kifo,Hakuna kikii mbaya.


Orezi
Mwimbaji Orazi amezungumzia kikii iliyotengenezwa na meneja wa Skiibii kuhusu kuzimia na kufariki na baada ya dakika chache kuamka na kusema imemtangaza vizuri msanii huyo.
Orezi amesema ” ‘nothing like bad publicity’ akimaanisha hakuna kikii mbaya na toka taarifa za kifo zilivyoskika watu wame Download na kusikiliza muziki wa Skiibii zaidi, wame google jina lake na kumfuata instagram ili kumfahamu zaidi ” .
Orezi alimalizia kwa kusema “Kikii imekubali na Baada ya muda tutasahau tu “.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 









Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment