Kwa mara ya kwanza Don Jazzy atoa sababu za kutengana na D’banj.



donjazzy
Producer wa Marvin’s records Don Jazzy amezungumza kwa mara ya kwanza kuhusu kutengana kimaisha na kikazi na msanii/ rafiki yake D’Banj nakusema “ masshabiki wa Mo’ hits na vyombo vya habari ndio waliosababisha mambo yote “.
Don Jazzy anasema “Nikikutana na D’Banj tuna ongea na kupiga stori kama kawaida ila mashabiki na waandishi wa habari wanachochea ugomvi sana“.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 









Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment