Mwanaharakati Jesse Jackson amempiga marufuku mtoto wake kutumia ‘Nigga’ kwenye muziki wake.



0821-ashley-jesse-jackson-3
Mwanaharakati  Jesse Jackson amempiga marufuku mtoto wake ambaye ni rapa kutumia neno Nigga kwenye muziki wake.
Ashley Jackson ’16’ amewaambia waandishi wa habari kuwa ameekulia kwenye familia yenye nidhamu sana na atasikiliza maneno ya baba yake.
Mwanaharakati huyu alipinga na kushauri wasanii weusi mwaka 2006 waache kutumia neno Nigga kwenye muziki wao.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 









Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment