MCHAWI WA BARCELONA LEO ATAFANYA NINI?


Mchawi wa Barcelona,  Lionel Messi ameonekana mtulivu kwenye mazoezi ya jana akijiandaa na mechi ya UEFA Super Cup.
Siku chache zilizopita, Messi alicheza dhidi ya AS Roma katika mechi ya kirafiki dhidi ya AS Roma ya Italia, lakini ndani ya uwanja kulikuwa na cheche za aina yake.
Messi alimpiga kichwa na kumkaba koo beki wa Roma, Mapou Yanga-M'Biwa,  Barcelona ikishinda 3-0 Camp Nou.
Muargentina huyo hakuoneshwa kadi nyekundu kwa kufanya tukio hilo.
Andres Iniesta and Gerard Pique walk together during a training session at the Boris Paichadze Dinamo Arena
Andres Iniesta na Gerard Pique  wakitembea wakati wa mazoezi yaliyofanyika uwanja wa Boris Paichadze Dinamo Arena
Former Liverpool striker Luis Suarez does his best to swerve an over-zealous slide tackle in training
Straika wa zamani wa Liverpool, Luis Suarez akionesha vitu vyake wakati wa mazoezi
Messi looked a lot calmer during Monday's training session than he did just days ago against Roma
Kocha wa Barcelona, Luis Enrique anatarajia kuanza kukusanya makombe usiku wa leo ambapo anashuka dimbani kuchuana na Sevilla katika mechi ya UEFA Super Cup, huku akimtegemea mchawi wake Messi.
Messi was lucky not to be sent off for his antics during the pre-season clash against Roma last week
Messi anatarajia kuonesha moto wake..

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share



Tokeo la picha la twitter

comment
.
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment