Mwishoni mwa juma lililopita Mayweather (kushoto) alitunukiwa tuzo ya Nevada Boxing Hall of Fame
Wakati
huu akijiandaa kupanda ulingoni mwezi septemba mwaka huu dhidi ya Andre
Berto, Floyd Mayweather aliomba ataje mabondia watano wakubwa zaidi
kuwahi kutokea duniani.
Mayweather
aliwashangaza watangazaji wa TV ya ESPN mjini Los Angeles baada ya
kujitangaza mwenyewe kuwa ndiye bondia bora zaidi wa wakati wote.
Mr Money alijiita ni mtu wa ajabu zaidi kuwahi kutokea kwenye ulimwengu wa masumbwi.
0 comments:
Post a Comment