MAYWEATHER ACHANA NAYE....


Mwishoni mwa juma lililopita Mayweather (kushoto) alitunukiwa tuzo ya Nevada Boxing Hall of Fame 

Wakati huu akijiandaa kupanda ulingoni mwezi septemba mwaka huu dhidi ya Andre Berto, Floyd Mayweather aliomba ataje mabondia watano wakubwa zaidi kuwahi kutokea duniani.
Mayweather poses with his father Floyd Mayweather Sr (left) and his portrait at Caesars Palace in Las Vegas
Mayweather aliwashangaza watangazaji wa TV ya ESPN mjini Los Angeles baada ya kujitangaza mwenyewe kuwa ndiye bondia bora zaidi wa wakati wote.
Mr Money alijiita ni mtu wa ajabu zaidi kuwahi kutokea kwenye ulimwengu wa masumbwi.
When asked to name the five greatest boxers of all time, the 38-year-old pronounced himself as the best 
Mayweather alisema: "Nimewapiga mabingwa zaidi wa dunia kuliko bondia yeyote ndani ya muda mfupi. Nimewapiga wengi zaidi na nimepigwa kidogo sana".

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share



Tokeo la picha la twitter

comment
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment