VIDEO: MAMBO YA CRISTIANO RONALDO WEKA MBALI NA WOTOTO



Juzi Cristiano Ronaldo alikuwa anakula maisha ziwani na mtoto wake wakati Real Madrid ikicheza mech ya kirafiki nchini Norway dhidi ya Valerenga.
Ronaldo alipewa mapumziko mwishoni mwa Juma lililopita na hakusafiri kwenda Norway kwasababu ya majeraha madogo aliyopata.
Hata hivyo,  atakuwa fiti katika mechi ya mwisho ya kirafiki ya Real Madrid dhidi  Galatasaray itayopigwa Agosti 18.
Kitu cha kushangaza, Ronalod hakuangalia mechi ya Madrid, badala yake alikwenda kula bata mtoto wake wa kiume.
Ali-post video na picha yake akiwa kwenye boti akiwatakiwa mafuasi wake 'Jumapili njema".

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share



Tokeo la picha la twitter

comment
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment