Hii ndio kazi atakayofanya Rihanna kwenye kipindi cha The Voice msimu wa Tisa.Rihanna amejiunga na kipindi cha kutafuta vipaji cha ‘The Voice’ kama mshauri wa majaji wa washindani. Rihanna atakuwa mshauri wa majaji wa kipindi cha “The Voice.” kwenye msimu wa 9 unaorushwa na kituo cha NBC. Majaji hao ni Pharrell Williams, Gwen Stefani, Adam Levine, na Blake Shelton.

Msanii mwingine ni Missy Elliott ambaye atakuwa celebrity advisor kwa Pharrell Williams, Selena Gomez na kwa Gwen Stefani,John Fogerty kwa Adam Levine na Brad Paisley atakuwa mshauri kwa Blake Shelton.

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share






 
Share



usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 

Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment