Dr Dre akiri kufanya unyanyasaji, ni makosa yanyuma nayotaka kufuta.


Akiwa kwenye ziara ya vyombo vya habari kutangaza filamu yake ya ” Straight Outta Compton ” Dr Dre amezungumzia mambo tofauti kuhusu maisha yake miaka ya tisini ikiwemo unyanyasaji wa mwanamke “Michel’le ” ambaye aliwahi kusema alinyanyaswa na kupigwa na Dr Dre wakati wako kwenye mahusiano.
Dr Dre amesema ” Nilifanya maamuzi mabaya wakati wa ujana wangu ambayo mpaka leo natamani kuyafuta, nilikuwa mjinga sana, siwezi kusema alichosema Michel’le ni uongo ila natamani ningefuta kabisa mambo niliyofanya nyuma, sitarudia tena kufanya makosa kama yale ” .

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share






 
Share



usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 

Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment