ajali aliyopata Peter wa P Square na meneja wao msaidizi.


Peter

Kupitia instagram yake Peter wa P Square ameandika ujumbe kwa mashabiki wake kuhusu ajali hii nakusema “tulikuwa na meneja msaidizi wa P Square, Kaffy na Joseph Ameh tukitoka kwenye show , tulikuwa kwenye barabara ya Lagos Ibadan Expressway, lorry kubwa limegonga gari yetu na kutusukuma kwa sekunde kama 12 ila tumetoka salama, tuna mshukuru Mungu tumepona.
square square.JPG 3
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment