Kupitia instagram yake Peter wa P Square ameandika ujumbe kwa mashabiki wake kuhusu ajali hii nakusema “tulikuwa
na meneja msaidizi wa P Square, Kaffy na Joseph Ameh tukitoka kwenye
show , tulikuwa kwenye barabara ya Lagos Ibadan Expressway, lorry kubwa
limegonga gari yetu na kutusukuma kwa sekunde kama 12 ila tumetoka
salama, tuna mshukuru Mungu tumepona“.
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment