Hip hop heavyweight kutoka Kenya ‘Abbas Kubaff’ amefunga ndoa na mpenzi wake aliyekutana naye October mwaka jana.
Abbas aliwahi kufumnga ndoa mnamo November 2008 na mwanamke aliyefahamika kama Baby Gangsta ila waliachana baada ya miezi kumi tu ndani ya ndoa.
Mke wa Abbas Kubaff ni muingereza na anaitwa Anna na wamefunga ndoa Kenya wakiwa pamoja na marafiki na familia tu.
Source, Ghafla Kenya.
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos
Abbas aliwahi kufumnga ndoa mnamo November 2008 na mwanamke aliyefahamika kama Baby Gangsta ila waliachana baada ya miezi kumi tu ndani ya ndoa.
Mke wa Abbas Kubaff ni muingereza na anaitwa Anna na wamefunga ndoa Kenya wakiwa pamoja na marafiki na familia tu.
Source, Ghafla Kenya.
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment