
kwanini mama anyonyeshe? ♢ni rahisi yanapatikana mda wowote sio gharama. ♢mama anaponyenyesha anapùnguza hatari ya kupata cancer. ♢inamsaidia kuchelewesha kuona hedhi ya mama na kumfanya kutunzwa kwa madini ya chuma mwilini. ♢itakusaidia kuimarisha mifupa ata ukazeeka basi baro utakuwa imara ¡
WaMama nawaomba sana nyonyesheni watoto ni muhimu sana ,acheni kutumia
maziwa ya kopo kama unaewezo wa kunyonyesha na kama wewe unafanya kazi
basi pump(kamua)maziwa mwachie house gal atampa mtoto ,yahifadhi hayo
maziwa kwenye friji! ♧Inapotokea mtoto anakataa kunyonya basi ujue
anamatatizo haya
1⭕Anamaumivu mdomoni,au infections (mwangalie mtoto mdomoni vizuri)
2⭕Atakuwa na infection ya sikio, akinyonya maziwa akiwa amelalia sikio anaumia na ndio hapo atakataa kunyonya.
3⭕Kupata mafua kunasababisha.
4⭕Utokaji wa maziwa umepungua hivyo atakuwa anatumia nguvu kunyonya na hayatoki .
5⭕Kutoka kwa meno kunasababisha kukataa kunyonya.1
1⭕Anamaumivu mdomoni,au infections (mwangalie mtoto mdomoni vizuri)
2⭕Atakuwa na infection ya sikio, akinyonya maziwa akiwa amelalia sikio anaumia na ndio hapo atakataa kunyonya.
3⭕Kupata mafua kunasababisha.
4⭕Utokaji wa maziwa umepungua hivyo atakuwa anatumia nguvu kunyonya na hayatoki .
5⭕Kutoka kwa meno kunasababisha kukataa kunyonya.1
0 comments:
Post a Comment