
January
Makamba ni miongoni mwa wabunge ambao kwa sasa wako kwenye headlines za
kugombea Urais kwenye uchaguzi mkuu ujao wa Tanzania kwa siku chache
zilizopita ameamua kuzitumia kuwa na watu wa Jimboni kwake Bumbuli.

Baada
ya kumaliza mkutano wake kwenye kata ya Tamota baadhi ya viongozi wa
dini wakiongozwa na Mchungaji Amasia Mweta na Sheikh Amiri Yahaya
Shekibula waliamua kumfanyia maombi maalum January Makamba.

Wakazi
wa jimbo la Bumbuli,wilaya ya Lushoto wameamua pia kumuunga mkono
mbunge wao huyo endapo kama ataamua kugombea Urais,ziara ya January
Makamba ni ziara ya siku 6 jimboni kwake imeanza March 06.
0 comments:
Post a Comment