Kama hii ni miongoni mwa ulizozimis, ripoti za Argentina zinasema staa huyu wa soka kutoka club ya Barcelona Lionel Messi pamoja na mpenzi wake Antonella Roccuzzo wanatarajia kupata mtoto wao wa pili.
Wameshajua tayari kwamba ni mtoto wa kiume
atazaliwa na watamuita Benjamin wakati yule wa kwanza anaitwa Thiago
ambapo Messi alithibitisha kupitia page yake ya instagram kwa kuandika ‘tunakusubiria baby, tunakupenda’
0 comments:
Post a Comment