#Breaking: Maamuzi mapya baada ya Paul Makonda kukutana na madereva waliogoma

AW1A5240
Hii ishu ya mgomo wa mabasi ya abiria tangu mwaka 2015 umeanza imegonga vichwa vya habari kwa mara ya pili.. mara ya kwanza ilikuwa April 2015, lakini ukaisha baada ya kama saa 7 hivi kupita.
AW1A5060
Jana May 5 2015 ikawa stori kubwa kwa mara ya pili, madereva wa mabasi wamegoma tena.. siku ikaisha huku kukiwa hakuna muafaka ambao umepatikana kuumaliza mgomo huo.
AW1A5035
Leo tena hali ikawa kama jana, daladala na mabasi makubwa ya kwenda mikoani yote yaliendeleza mgomo.. ikafika saa sita mchana Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda na Kiongozi wa CHADEMA, Freeman Mbowe wakaongea na viongozi wa Chama cha Madereva wakakubaliana na baadae mgomo ukaisha mabasi yakaanza safari.
AW1A4965
Hali ilikuwa hivi maeneo mengine, watu wanatembea kwa miguu.. wengine baiskeli.
Jahazi limeokolewa na Mkuu huyo wa Wilaya wa Kinondoni ambapo amewaahidi kwamba ameunda Tume ambayo itakutana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda ili kupata tamko la Serikali kuhusu madai ya madereva hao, na majibu yatapatikana kesho asubuhi kutoka Serikalini.
AW1A5073
Malori ya mizigo yalibeba watu pia
AW1A5084
AW1A5088
AW1A5099
AW1A5111
AW1A5119
AW1A5129
Barabarani magari mengi yaliyoonekana kutembea ni ya watu binafsi.
AW1A5142
AW1A5172
Mbunge Freeman Mbowe na DC Paul Makonda
AW1A5180
AW1A5186
AW1A5202
AW1A5227
AW1A5240
IMG_2276
IMG_2285
Nje ya stendi ya mabasi Ubungo hali ilikuwa hivi.
IMG_2287
Saa 7 mchana mabasi yanaa nza safari baada ya makubaliano na DC Paul Makonda.

Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment