
Ronaldo amewapita mastaa wakubwa wa muziki akiwemo Justin Bieber ambaye ameshika nafasi ya 7 wakati mpinzani wake mkubwa kwenye soka Lionel Messi ametajwa kwenye nafasi ya 5, staa mwimbaji Rihanna ameshika nafasi ya 6 na staa muigizaji na muimbaji Selena Gomez ambaye anaongoza kwa kuwa mashabiki wengi zaidi Instagram, huku ameshika nafasi ya 17.
Full List nimekuwekea hapa.




0 comments:
Post a Comment