Mchezaji wa Leicester kapata ajali na Lamborghini yake ya zaidi ya Tsh milioni 500


Kiungo wa Leicester City ya England Jeffrey Schlupp jina lake limeingia kwenye headlines baada ya taarifa za kupata ajali akiwa katika gari lake kuanza kuenea katika mitandao mbalimbali England.
Jeffrey Schlupp amepata ajali kwa kugonga mti akiwa ndani ya gari yake aina ya Lamborghini ambayo ina thamani ya pound 190,000 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 500 za kitanzania, beki huyo amepata ajali lakini yupo salama.
leicester-city-foxes-leicester-foxes-nigel-pearson-jeffrey-schlupp-ghana-fa-553597
Jeffrey Schlupp
Kiungo huyo wa Ghana mwenye umri wa miaka 23 alipata ajali akiwa na gari lake aina ya Lamborghini, baada ya kuacha njia na kugonga mti wakati anaelekea mazoezini, Jeffrey Schlupp analipwa mshahara wa pound 30,000 kwa wiki
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment