Son Heung-min ambaye ameshinda tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwezi, amefanikiwa kucheza mechi tatu mwezi September na kufanikiwa kuisaidia Tottenham Hotspurskushinda mechi zote tatu akiwa kafunga magoli 4 na katoa assist moja.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 comments:
Post a Comment