- Beat ya wimbo huu ilitengenezwa kwa dakika 30 tu.
- Haikutengenezwa kwaajili ya msanii Tekno, ilikua ni ya msanii mwingine ambaye aliikataa kwa kudai ni nyepesi sana.
- Takno aliikuta ikiwa imekamlika kila kitu na producer alianza kuidharau baada ya kakataliwa na msanii aligongewa mdundo huo.
- Kwa mujibu wa SoundCityTV, Pana ni wimbo unaoongoza kwa kupigwa zaidi kwenye radio station zote barani Afrika.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment