Bondia David Haye anajipanga kupambana katika pambano la uzito wa juu mwakani, huku akitarajiwa kuwania mkanda wa uzito huo wa WBO.
Joseph Parker na Andy Ruiz watapambana huko Auckland Desemba 10 mwaka huu, kuwania mkanda huo ulioachiwa na Tyson Fury, na Haye atakuja kupigana na mshindi wa pambano hilo.
Haye alitwaa ubingwa wa uzito wa juu wa WBA baada ya kumpiga bondia mwenye mwili mkubwa Mrusi Nikolai Valuev mwaka 2009 kabla ya kuupoteza kwa Wladimir Klitschko.
0 comments:
Post a Comment