Idadi ya miili iliyopatikana baada ya boti ya wahamiaji kuzama katika pwani ya Misri siku ya jumatano, imefikia watu 162, huku zoezi la kutafuta miili zaidi likiendelea.
Boti hiyo ilikuwa imebeba wahamiaji kati ya 450 hadi 600 wakati ilipozama kilomita 12 kutoka bandari ya Rosetta.
0 comments:
Post a Comment