Daraja refu la kioo nchini China ambalo lilivunja rekodi wakati lilipofunguliwa limefungwa baada ya kutumika kwa siku 13 tu.
Maafisa wa China wanasema serikali inapanga kulifanyia matengenezo daraja hilo ambalo limefungwa jana Ijumaa, siku ya kufunguliwa tena itatangazwa.
Watu wakikatiza juu ya daraja hilo mara baada ya kufunguliwa kabla ya kufungwa Ijumaa


0 comments:
Post a Comment