Muigizaji filamu maarufu na mchekeshaji Kevin Hart amefunga ndoa hii leo na mchumba wake mwanamitindo Eniko Parrish baada ya miaka miwili ya uchumba.
Rafiki wa Kevin Hart, Ludacris akiwa na mkewe Eudoxie Mbouguiengue walikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa
0 comments:
Post a Comment