DONALD TRUMP AJIBU MAPIGO ASEMA KIPINDI CHA URAIS CHA OBAMA NI 'MAJANGA'


Donald Trump amesema kipindi cha rais Barack Obama madaraka ni 'majanga', kauli ambayo ameitoa baada ya rais Obama kusema hafai kuwa rais.

Mgombea huyo wa urais kwa tiketi ya chama cha Republican Bw. Trump akiongea na Fox News amesema Obama amekuwa dhaifu, asiemudu madaraka hayo.

Rais Obama alimkosoa Bw. Trump na kuhoji kwanini chama chake, hakikumzuia kuwania kugombea urais wa Marekani.
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment