Donald Trump amesema kipindi cha rais Barack Obama madaraka ni 'majanga', kauli ambayo ameitoa baada ya rais Obama kusema hafai kuwa rais.
Mgombea huyo wa urais kwa tiketi ya chama cha Republican Bw. Trump akiongea na Fox News amesema Obama amekuwa dhaifu, asiemudu madaraka hayo.
0 comments:
Post a Comment