Mcheza Mpira wa Basketi Mtanzania Aishie Marekani Afariki Dunia Baada ya Kutumbukia Mtoni



TANZIA: Mtanzania, Samson Charles Bidan (20), aliyekuwa akiishi huko katika jiji la North Plate nchini Marekani, amefariki dunia baada ya kutumbukia mtoni

Alikuwa mchezaji wa mpira wa kikapu akijiandaa na mashindano ya michezo vyuoni (NCAA)
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment