Mbunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ( EALA ) kutoka nchini Burundi, Hafsa Mossi ( PICHANI ) ameuawa mjini Bujumbura baada ya kupigwa risasi.
Hafsa aliyepata kuwa Waziri wa Habari nchini humo na mwandishi mahiri wa habari wa Shirika la Utangazaji la Uingereza ( BBC ) alipigwa risasi na watu wasiojulikana ambao baada ya kutimiza unyama huo walitoweka kusikojulikana.
0 comments:
Post a Comment