Mfanyakazi wa kampuni ya ndege ya Virgin amejikuta akipigwa na butwaa baada ya kukutwa akiwa ameuchapa usingizi na Mmiliki wa Kampuni hiyo Richard Branson.
Mfanyakazi huyo aliyekuwa katika timu ya wafanyakazi wa dharura, alikutwa akiwa amejikunja kwenye kochi akiuchapa usingizi kwenye ofisi ya Virgin, Australia Jijini Sydney.
0 comments:
Post a Comment