KOCHA ROBERTO DI MATTEO AITWA KUINOA ASTON VILLA Unknown 12:28:00 PM MICHEZO Edit Kocha wa zamani wa Chelsea, Roberto di Matteo, ametangazwa kuwa kocha mpya wa timu ya Aston Villa ya Uingereza. Muitalia huyo anachukua mikoba Remi Garde ambaye alifukuzwa mwezi Machi kabla ya klabu hiyo kushuka daraja. Di Matteo, aliyeshinda Ligi ya Mabingwa akiwa na Chelsea mwaka 2012, atasaidiwa na mchezaji mwenzake wa zamani wa Chelsea Steve Clarke. Share Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus Share About Unknown Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774 RELATED POSTS DIAMOND KUTUMBUIZA KWENYE TUZO ZA M...RAIS DONALD TRUMP AENDA KUCHEZA GOL...HII ni Moja ya Zawadi Alizopewa Sam...
0 comments:
Post a Comment