RAIS WA UFARANSA FANCOIS HOLLANDE ATHIBITISHA KUANGUKA NDEGE YA EGYPTAIR


Ndege ya shirika la ndege la EgyptAir iliyoripotiwa kupotea angani kati ya Paris na Cairo, imeanguka rais wa Ufaransa Fancois Hollande amethibitisha.

Ndege hiyo aina ya Airbus A320 imetoweka mashariki mwa Mediterranean, ikiwa na abiria 56 wakiwemo watoto watatu, watumishi saba wa ndege pamoja na maafisa usalama watatu.

Abiria wa ndege hiyo walikuwa Wamisri 30, Wafaransa 15, Muingereza mmoja Wairaki wawili na watu kutoka mataifa ya Canada, Ubelgiji, Kuwait, Saudi Arabia, Algeria, Sudan, Chad na Ureno.
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment