Wakuu katika jimbo la New South Wales nchini Australia, wametangaza hali ya tahadhari, ili kusaidia mji mmoja ambao umezingirwa na maelfu ya popo. Wakazi wa mji wa Bateman Bay, wanasema kuwa kelele za kuudhi, harufu mbaya na kinyesi cha popo, vinawapa kero kubwa.
Mamlaka kuu ya jimbo hilo, sasa inapania kutumia dola 1.8 milioni, kuwahamisha popo hao, ambao pia wanafahamika kama mbweha wanaopaa.
0 comments:
Post a Comment