MAPOROMOKO SRI LANKA ZAIDI YA WATU 134 SASA WAHOFIWA KUFA


Timu ya waokoaji ya Sri Lanka inatafuta idadi kadhaa ya watu wasiojulikana walipo huku kukiwa na hofu hakuna manusura zaidi, wa maporomoko makubwa ya ardhi katika nchi hiyo.

Hadi sasa vikosi vyemefanikiwa kuokoa watu 150 kutokana na maporomoko ya ardhi katika wilaya iliyokumbwa na athari zaidi ya Kegalle lakini matumaini ya kuwapata hai watu 134 yamefifia.

Siku ya jumatano miili 14 ilifukuliwa kwenye vifusi, watu wengine watano walikutwa kwenye eneo lingine la maporomoko katika wilaya ya Kegalle na kufanya vifo vya ndani ya Wilaya hiyo pekee kuwa watu 10.
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment