Takriban watu milioni 31.6 katika eneo hilo hawana chakula cha kuwatosha kutokana na ukosefu wa mvua na uhaba wa maji.
Ombi hilo linatolewa kabla ya kufanyika mkutano mkuu wa umoja waimataifa, unatarajiwa kuangazia hitaji la kuchukua hatua, kulinda jamii kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.
0 comments:
Post a Comment