Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria ya zaidi Bilioni 35 ilivyowasilishwa bungeni


Mei 5 2016 Waziri wa katiba na sheriaHarrison Mwakyembe amewasilisha bungeni mpango wa makadirio ya bajeti kwa mwaka 2016/2017.
Waziri Mwakwembe amesema..>> ‘Wizara yangu itaendelea na uratibu na uimarishaji wa mfumo wa sheria wa nchi na oia juhudi za kuongeza ubora na kuimarisha upatikanaji wa huduma za kisheria na kikatiba sanjari na dhima ya Wizara
Wizara itachukua hatua kuimarisha upatikanaji wa msaada wa kisheria kwa watu wasio na uwezo, kuimarisha utunzaji wa kumbukumbu na takwimu, aidha Wizara italitumia kwa karibu zaidi jukwaa la haki jinai chini ya Mkurugenzi wa mashtaka.’
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment