Watanzania Kwa Uchafu Tumeshindikana..Embu Ona Huyu Katupa Takataka Daraja Jipya Unknown 9:01:00 PM KITAIFA Edit Pamoja na Jitihada za Paul Makonda Kuanzisha kampeni ya Usafi Jijini Dar es Salaam lakini kuna baadhi ya watu wanazikwamisha juhudi hizo kwa makusudi..hizi takataka zimetupwa daraja jipya la kigamboni ambalo limefunguliwa week iliyopita tu. Share Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus Share About Unknown Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774 RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment