Mwandishi nchini Somalia aliyewasaidia al-Shabaab kuwauwa waandishi wenzake watano ameuwawa kwa adhabu ya kupigwa risasi.
Mwandishi huyo Hassan Hanafi, ambaye aliwahi kuwa mtangazaji anayeheshimika, alihukumiwa kifo mwezi uliopita na mahakama ya kijeshi Jijini Mogadishu.
0 comments:
Post a Comment