Mchezaji aliyekwenye ubora wake
Cedric Bakambu amecheka na nyavu mara mbili wakati Villarreal
ikiifunga Sparta Prague magoli 2-1 katika mchezo wa kwanza wa robo
fainali wa Ligi ya Uropa.
Mshambuliaji huyo raia wa Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Congo, alipachika goli la kwanza katika dakika ya
tatu tu ya mchezo huo lakini likasawazishwa na Jakub Brabec kabla ya
kuongeza la pili katika dakika ya 63.
Mkongo Cedric Bakambu akiwa kazini akichuana na kipa wa Sparta kuwania mpira
You might also like:
MAMA SAMIA SULUHU HASSAN ATETEMESHA JIMBO LA ITILIMA NA ...
JUDICIAL OFFICERS TRAINING ON EAC LEGAL FRAMEWORK ...
RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN AWAANDALIA CHAKULA MADAKTARI ...
JIMBO LA CRIMEA LINAPIGA KURA YA MAONI YA KUAMUA ...
0 comments:
Post a Comment