Manchester United yatinga nusu fainali FA



Klabu ya Manchester United itacheza na Everton katika nusu fainali ya Kombe la FA kwenye Uwanja wa Wembley baada ya kuifunga West Ham United.
3325F1F700000578-3538663-Rashford_is_mobbed_by_his_Manchester_United_team_mates_after_bre-a-2_1460584246732
Marcus Rashford alifunga goli la kuongoza katika robo fainali hiyo dakika ya 54 baada ya kupokea pasi kutoka kwa Anthony Martial naye Marouane Fellaini alifunga goli la pili dakika 13 katika Uwanja wa Upton Park jijini London.

article-3538461-3327BC2100000578-740_636x382
Goli la kufutia machozi la West Ham limefungwa na James Tomkins
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment